Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?





HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.





WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Linda Karimi (Guest) on March 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on February 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on January 18, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on January 2, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on December 31, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jacob Kiplangat (Guest) on October 17, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on September 16, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Majaliwa (Guest) on August 26, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on August 26, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on August 19, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on August 4, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on August 1, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kijakazi (Guest) on July 16, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

David Kawawa (Guest) on July 13, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on June 23, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on June 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on June 14, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on June 7, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on June 3, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Neema (Guest) on May 11, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mchawi (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Lucy Wangui (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Joy Wacera (Guest) on March 12, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Kendi (Guest) on March 7, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on February 13, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on January 31, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on January 18, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Susan Wangari (Guest) on January 1, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on December 7, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on November 20, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on November 18, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Michael Mboya (Guest) on November 16, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raha (Guest) on November 5, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anthony Kariuki (Guest) on October 20, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mary Njeri (Guest) on September 14, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Kenneth Murithi (Guest) on August 31, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on August 30, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on August 16, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Ochieng (Guest) on August 2, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

John Lissu (Guest) on July 8, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zubeida (Guest) on July 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Baraka (Guest) on June 26, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lydia Wanyama (Guest) on June 20, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on June 11, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 21, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Patrick Kidata (Guest) on May 3, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on March 28, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Monica Adhiambo (Guest) on March 19, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on March 9, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on February 23, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwajabu (Guest) on February 13, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anna Mahiga (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

John Mwangi (Guest) on January 14, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Majaliwa (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on December 23, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mchuma (Guest) on December 17, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edith Cherotich (Guest) on November 27, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on November 27, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on November 7, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More