Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:"LIVER."

5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"

ZUZU:"Hasira nyingi sana!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Maulid (Guest) on August 20, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Lissu (Guest) on July 29, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Wanjiru (Guest) on June 27, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on June 19, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on June 5, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Majid (Guest) on June 5, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Catherine Mkumbo (Guest) on May 3, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Amukowa (Guest) on April 26, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Rose Lowassa (Guest) on April 5, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Jafari (Guest) on April 4, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on April 3, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Josephine Nduta (Guest) on April 1, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Kawawa (Guest) on March 28, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on March 19, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Zainab (Guest) on February 28, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edward Chepkoech (Guest) on February 6, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on January 14, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on December 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on December 13, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on November 23, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Kawawa (Guest) on November 1, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Charles Mchome (Guest) on October 28, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Peter Mbise (Guest) on September 30, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sharifa (Guest) on September 27, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

John Lissu (Guest) on September 20, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on September 5, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on September 1, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Josephine Nduta (Guest) on August 30, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Victor Kamau (Guest) on August 27, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on July 28, 2018

🀣πŸ”₯😊

Lucy Wangui (Guest) on July 12, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Chiku (Guest) on June 20, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Minja (Guest) on June 14, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on June 6, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Khadija (Guest) on May 27, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on May 25, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Betty Cheruiyot (Guest) on May 17, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on April 23, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on April 16, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

David Ochieng (Guest) on March 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Alex Nakitare (Guest) on March 12, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on February 21, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on February 21, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Frank Macha (Guest) on February 18, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mwinyi (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Edward Chepkoech (Guest) on January 13, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 7, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Sokoine (Guest) on December 3, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Agnes Lowassa (Guest) on November 29, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Elizabeth Mrope (Guest) on November 7, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on November 1, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Nassor (Guest) on October 5, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mgeni (Guest) on September 20, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwinyi (Guest) on September 18, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Francis Njeru (Guest) on July 27, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Mugendi (Guest) on July 26, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jaffar (Guest) on July 8, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Related Posts

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More