Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Malaika, "Inawezekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."

Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda, akaonelea arudi kama kuku.

Malaika akamgeuza kuku, akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.

Akachuchumaa na kuanza kujikamua; yai la kwanza likatoka. akajikamua tena, yai la pili likatoka. Akajikamua tena mara ya tatu.

Wakati yai la tatu linatoka… akashtukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbav*! Balaa gani hii…. unakuny* kitandani!!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Sumari (Guest) on January 10, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Malela (Guest) on January 6, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 3, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on November 28, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on November 17, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on November 15, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on September 12, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 11, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on July 27, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on July 19, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Khadija (Guest) on July 15, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Joyce Nkya (Guest) on May 22, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on May 21, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on April 20, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on April 8, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kikwete (Guest) on March 22, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Miriam Mchome (Guest) on March 18, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on February 28, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Sarah Karani (Guest) on February 6, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on February 1, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Hellen Nduta (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Martin Otieno (Guest) on December 1, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Mrope (Guest) on November 20, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Amollo (Guest) on October 24, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Kiwanga (Guest) on October 16, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mohamed (Guest) on October 10, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Sumari (Guest) on September 25, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on September 5, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Arifa (Guest) on August 26, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Sharifa (Guest) on August 16, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on August 9, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on August 3, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Raha (Guest) on August 2, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Minja (Guest) on July 17, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mustafa (Guest) on June 9, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on May 17, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on May 11, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on May 7, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on May 6, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on May 4, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on April 29, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

James Kawawa (Guest) on April 24, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on April 7, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on February 13, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Ruth Kibona (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on January 25, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on January 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on January 20, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on January 17, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

David Nyerere (Guest) on December 17, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on December 12, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on December 12, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Jacob Kiplangat (Guest) on December 4, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

James Kawawa (Guest) on December 1, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Mwalimu (Guest) on November 16, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Joseph Kawawa (Guest) on November 14, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rahim (Guest) on October 27, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Tabitha Okumu (Guest) on October 24, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mary Njeri (Guest) on October 23, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on October 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More