Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

Shangazi maliza ngazi,
Swaiba geukia mbele,
Kaka hapo shika upande wa pili,
Mdogo wangu mpishe Ma Mkwe akae.
Subiri Shemeji yako apande…

Duh… makonda noma…!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Nyalandu (Guest) on February 21, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on January 17, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on January 2, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on December 29, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Sokoine (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Sumari (Guest) on December 22, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jamila (Guest) on December 17, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lucy Mushi (Guest) on December 2, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Safiya (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Lydia Mutheu (Guest) on October 20, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on October 12, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on October 3, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on September 28, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Shabani (Guest) on September 20, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on September 20, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on September 12, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on August 29, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sharon Kibiru (Guest) on June 10, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Moses Mwita (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on April 3, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rehema (Guest) on March 22, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ruth Mtangi (Guest) on March 21, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on March 16, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on February 4, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Selemani (Guest) on January 30, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on November 28, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

David Nyerere (Guest) on November 28, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Patrick Mutua (Guest) on November 17, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on October 19, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on October 5, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on October 4, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Janet Sumaye (Guest) on October 4, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on August 30, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Kibona (Guest) on August 14, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on August 9, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 31, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on July 21, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on July 15, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on June 23, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Ruth Kibona (Guest) on May 21, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on May 19, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Ali (Guest) on May 16, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Catherine Mkumbo (Guest) on May 9, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 13, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Salima (Guest) on April 7, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Selemani (Guest) on March 26, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

David Ochieng (Guest) on March 1, 2018

😊🀣πŸ”₯

Catherine Mkumbo (Guest) on February 22, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 8, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jackson Makori (Guest) on January 4, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mary Njeri (Guest) on December 23, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Francis Mtangi (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on October 22, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

John Mwangi (Guest) on October 11, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Faiza (Guest) on October 3, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More