Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.





2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.





3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?





4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.





5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.





6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.





7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.





8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.





9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.





10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ruth Wanjiku (Guest) on September 9, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Monica Nyalandu (Guest) on August 18, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mwangi (Guest) on August 8, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Kawawa (Guest) on August 3, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on July 26, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Janet Mwikali (Guest) on July 21, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on June 17, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on June 3, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

James Mduma (Guest) on May 27, 2020

🀣πŸ”₯😊

Salima (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Samuel Were (Guest) on May 23, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on May 6, 2020

😊🀣πŸ”₯

Alice Jebet (Guest) on April 17, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Elijah Mutua (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Sharifa (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Charles Wafula (Guest) on February 14, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on January 11, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on November 25, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Samuel Were (Guest) on October 28, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

George Wanjala (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Khatib (Guest) on October 15, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on September 13, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rashid (Guest) on September 11, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Kendi (Guest) on August 13, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 9, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on August 8, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on August 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on July 27, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Aziza (Guest) on July 26, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

John Malisa (Guest) on July 21, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 13, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 24, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on June 12, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on June 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on May 7, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on May 2, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Akinyi (Guest) on March 28, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Christopher Oloo (Guest) on March 3, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Wande (Guest) on February 16, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Amani (Guest) on February 1, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Grace Wairimu (Guest) on January 23, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nashon (Guest) on January 21, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Sarah Mbise (Guest) on January 1, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on November 21, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on November 8, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Anna Sumari (Guest) on August 29, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on August 27, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 14, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 14, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Kendi (Guest) on August 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Njuguna (Guest) on July 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on July 28, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on July 14, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on July 11, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Anna Sumari (Guest) on July 3, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on June 21, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Maida (Guest) on June 14, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Related Posts

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More