Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.





Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.





Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=





Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.





Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.





Meneja akaja kuwasikiliza





Babu: " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"





Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "





Babu; "Lakini hatukuyatumia"





Manager; "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"





Babu: "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"





meneja: "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"





Babu: "Lakini sisi hatukuwasikiliza"





Meneja: "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"





Babu; aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,





Bibi akaandika akampa meneja.





Meneja anaangalia anaona sh. 50,000





Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"





Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"





Meneja akajibu; "Lakini sijalala"





Bibi :"ungeweza kama ungetaka"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joyce Mussa (Guest) on October 30, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

James Kimani (Guest) on September 6, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on September 5, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nora Kidata (Guest) on September 4, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Jamal (Guest) on August 19, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mtangi (Guest) on August 15, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on August 14, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on July 21, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Biashara (Guest) on July 20, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 19, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on July 13, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on June 24, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on June 20, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Jamal (Guest) on June 5, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Violet Mumo (Guest) on May 28, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on May 21, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on April 17, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on March 31, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Mushi (Guest) on March 28, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 12, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

David Ochieng (Guest) on January 19, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Sarah Karani (Guest) on December 8, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on December 3, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on November 30, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Malima (Guest) on November 29, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Sumari (Guest) on November 29, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

James Mduma (Guest) on November 28, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Kassim (Guest) on November 26, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Thomas Mtaki (Guest) on November 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on November 16, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on September 4, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Mary Njeri (Guest) on August 19, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lucy Mahiga (Guest) on August 18, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on July 31, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on June 11, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on June 10, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Mrope (Guest) on June 9, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on May 28, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on May 22, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Hellen Nduta (Guest) on May 15, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on April 12, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Ruth Wanjiku (Guest) on March 17, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on March 9, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samson Tibaijuka (Guest) on February 19, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Daudi (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Benjamin Masanja (Guest) on January 20, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Mwalimu (Guest) on January 6, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Victor Malima (Guest) on December 30, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on November 21, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

David Kawawa (Guest) on November 11, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on September 28, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on September 5, 2017

😊🀣πŸ”₯

Sarah Mbise (Guest) on July 30, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on July 20, 2017

🀣πŸ”₯😊

Martin Otieno (Guest) on July 20, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on June 6, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Salum (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Related Posts

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More