Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Wafula (Guest) on July 14, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on July 7, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

David Chacha (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on June 11, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Anthony Kariuki (Guest) on May 23, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on May 12, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nancy Komba (Guest) on May 9, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Charles Mchome (Guest) on April 20, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mwachumu (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Malima (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on April 2, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Charles Mboje (Guest) on March 19, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwachumu (Guest) on March 11, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Fadhili (Guest) on February 13, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nora Kidata (Guest) on February 4, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on January 26, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on December 26, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on November 2, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Onyango (Guest) on September 27, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on September 24, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on September 21, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on July 4, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mwanakhamis (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Peter Mwambui (Guest) on June 22, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mjaka (Guest) on June 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

James Mduma (Guest) on June 18, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Mwikali (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on May 29, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 25, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on May 18, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on April 19, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on March 19, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on February 5, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

David Chacha (Guest) on January 17, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rahim (Guest) on December 27, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sultan (Guest) on December 21, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mary Kendi (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on November 17, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Samson Mahiga (Guest) on October 27, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Yahya (Guest) on September 21, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Kawawa (Guest) on September 3, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 29, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on August 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on August 7, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Agnes Njeri (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Mushi (Guest) on July 4, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on June 19, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on May 21, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Rahim (Guest) on May 17, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on May 16, 2017

🀣πŸ”₯😊

Anna Mahiga (Guest) on May 15, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Samuel Were (Guest) on May 5, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Related Posts

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More