Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao kufika tyu ghafla unakutana na dada yake getini ambaye alikuwa ni mpenzi wako wa zamani, ile kuingia ndani unamuona kaka yake ambaye mlipigana baada ya kukufumania na mke wake, hujakaa vizuri unamuona mama yake ambaye ndiye jimama shangingi lako anayekuweka mjini akupaye jeuri ya kutamba ambapo hata gari unalolitumia alikupa yeye na hataki upajue anapoishi, wakati unataka kuondoka unakutana uso kwa uso na baba yake ambaye alikuwaga wakili wako kwenye kesi ya ubakaji`

πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Amollo (Guest) on November 23, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Elizabeth Mtei (Guest) on November 18, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Latifa (Guest) on November 13, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rukia (Guest) on November 3, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

James Mduma (Guest) on October 20, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on October 15, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Brian Karanja (Guest) on August 28, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lydia Wanyama (Guest) on August 15, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on August 12, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Sofia (Guest) on June 23, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on May 11, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joy Wacera (Guest) on May 4, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

John Mushi (Guest) on March 11, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Lucy Wangui (Guest) on March 3, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on February 14, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on January 19, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joy Wacera (Guest) on January 15, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Alice Wanjiru (Guest) on January 14, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on January 13, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on January 11, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Anna Sumari (Guest) on December 19, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on December 15, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Stephen Amollo (Guest) on December 9, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Zuhura (Guest) on December 8, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on December 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on November 16, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on October 28, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mwajuma (Guest) on August 30, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

David Nyerere (Guest) on July 27, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Nahida (Guest) on June 3, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 3, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Robert Ndunguru (Guest) on May 17, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on April 24, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mrope (Guest) on April 22, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

George Wanjala (Guest) on April 16, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Ann Wambui (Guest) on April 11, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on February 6, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Ruth Mtangi (Guest) on January 15, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mgeni (Guest) on January 9, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Margaret Mahiga (Guest) on January 3, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on December 21, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Ruth Mtangi (Guest) on November 15, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Rose Waithera (Guest) on October 24, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mwachumu (Guest) on October 3, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sharifa (Guest) on September 20, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joy Wacera (Guest) on September 17, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 11, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on August 28, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Ann Wambui (Guest) on August 24, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on June 26, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on June 16, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on June 14, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Alex Nyamweya (Guest) on June 1, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on April 10, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Hamida (Guest) on March 13, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Frank Macha (Guest) on February 11, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Athumani (Guest) on January 20, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Esther Cheruiyot (Guest) on January 18, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on January 7, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Related Posts

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More