Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Featured Image

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikaona nikimjibu ni uharibifu wa hela nikaenda kumgongea mlango saa 7 usiku. Alipofungua nikamjibu "shwari"halafu nikarudi nyumbani kulala zangu..

Sipendagi kuchezea salio..

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Amani (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Paul Ndomba (Guest) on August 28, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Amir (Guest) on August 7, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mwanaidha (Guest) on July 17, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joseph Kawawa (Guest) on July 6, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on June 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on May 14, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Lydia Mahiga (Guest) on May 11, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

John Mushi (Guest) on May 3, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Jafari (Guest) on April 25, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Anna Sumari (Guest) on March 27, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on March 9, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaisha (Guest) on February 23, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Sokoine (Guest) on December 19, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Kiwanga (Guest) on November 30, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Victor Malima (Guest) on November 17, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on November 9, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on November 1, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on October 28, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on October 21, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Janet Wambura (Guest) on October 10, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Hashim (Guest) on October 8, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

George Tenga (Guest) on October 5, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Khamis (Guest) on September 11, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Violet Mumo (Guest) on September 3, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on July 30, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Sharifa (Guest) on July 1, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Edith Cherotich (Guest) on June 13, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Carol Nyakio (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on March 28, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on March 19, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜† Kali sana!

John Lissu (Guest) on March 11, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Kitine (Guest) on March 7, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Yusra (Guest) on February 11, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Anthony Kariuki (Guest) on January 3, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Athumani (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Paul Kamau (Guest) on December 8, 2017

😊🀣πŸ”₯

Andrew Mahiga (Guest) on December 2, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumari (Guest) on November 23, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on November 22, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on November 12, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 6, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Rahma (Guest) on November 4, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on October 12, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on October 10, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on September 25, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on September 7, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chiku (Guest) on August 29, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on August 12, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 20, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Hawa (Guest) on June 3, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanaidha (Guest) on May 26, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 12, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on May 3, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on April 22, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Anna Mahiga (Guest) on April 20, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Chiku (Guest) on April 12, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Grace Majaliwa (Guest) on April 9, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More