Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Carol Nyakio (Guest) on January 14, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on December 15, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on November 2, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on October 11, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on October 10, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mwachumu (Guest) on October 2, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Samson Mahiga (Guest) on September 7, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on August 19, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rubea (Guest) on August 17, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Omari (Guest) on August 3, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on July 27, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lydia Mutheu (Guest) on July 16, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on July 8, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Alice Jebet (Guest) on June 23, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Farida (Guest) on June 20, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Elizabeth Mrope (Guest) on June 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on May 14, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on May 4, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on April 26, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on April 24, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on April 19, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on April 12, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Amukowa (Guest) on April 7, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mohamed (Guest) on February 27, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Hellen Nduta (Guest) on January 21, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mjaka (Guest) on December 22, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Benjamin Kibicho (Guest) on December 21, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Sekela (Guest) on November 23, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lucy Kimotho (Guest) on October 15, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on September 28, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Kevin Maina (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Sarah Mbise (Guest) on August 27, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on August 26, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Frank Macha (Guest) on July 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mazrui (Guest) on July 25, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on July 24, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on July 24, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Robert Okello (Guest) on July 11, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on June 7, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Andrew Odhiambo (Guest) on May 23, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on May 18, 2018

😊🀣πŸ”₯

Mary Kidata (Guest) on May 18, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Alex Nyamweya (Guest) on May 11, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

David Chacha (Guest) on March 15, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Amina (Guest) on February 7, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Brian Karanja (Guest) on January 13, 2018

🀣πŸ”₯😊

Salum (Guest) on January 7, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Rose Mwinuka (Guest) on December 2, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on November 14, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on November 3, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on October 23, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Charles Mrope (Guest) on October 22, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lydia Wanyama (Guest) on October 22, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Sumaya (Guest) on October 19, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Samuel Were (Guest) on October 7, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Wilson Ombati (Guest) on September 21, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Jamila (Guest) on August 25, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Related Posts

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More