Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Featured Image

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line yenye M-pesa home plz nitumie tena kwa tigo mpenz""!! Me nikajifanya chizi nikatuma Kule kule kwenye voda (aliosema kaacha home) Nikatuma huko message ivi "nikuongezee Sh. Ngapi tena mpenz..!!" Akanjbu "elfu 20,000 tu mpenzi" Mtuhurumie jamani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Edward Lowassa (Guest) on September 6, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on August 31, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on July 14, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joyce Aoko (Guest) on June 26, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

James Mduma (Guest) on June 16, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on May 28, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 28, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Miriam Mchome (Guest) on May 19, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Maneno (Guest) on May 8, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Jabir (Guest) on April 29, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Elizabeth Malima (Guest) on April 26, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on April 24, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Charles Mchome (Guest) on April 3, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on March 16, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on March 9, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Diana Mumbua (Guest) on March 5, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Ruth Kibona (Guest) on February 12, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on February 10, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Aziza (Guest) on February 2, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Edward Lowassa (Guest) on January 24, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Majid (Guest) on January 17, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Ann Awino (Guest) on January 13, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Zakia (Guest) on December 27, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Robert Ndunguru (Guest) on October 30, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Mallya (Guest) on September 13, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on September 6, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 18, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Jamal (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 12, 2018

Asante Ackyshine

Sharon Kibiru (Guest) on June 7, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 26, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on April 20, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on April 20, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Yahya (Guest) on March 22, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Chum (Guest) on March 1, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Susan Wangari (Guest) on February 13, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Stephen Mushi (Guest) on February 12, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Wande (Guest) on February 11, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Alice Jebet (Guest) on February 8, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on January 30, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Khatib (Guest) on January 21, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sharifa (Guest) on January 19, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Rose Amukowa (Guest) on January 18, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joseph Kiwanga (Guest) on November 15, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

James Kimani (Guest) on October 7, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on October 5, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Farida (Guest) on October 4, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Hamida (Guest) on September 21, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Raha (Guest) on September 18, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Zakaria (Guest) on August 29, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Yusuf (Guest) on August 17, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Michael Onyango (Guest) on July 31, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mhina (Guest) on July 8, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Benjamin Masanja (Guest) on June 11, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Catherine Naliaka (Guest) on May 19, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on May 14, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on May 11, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maulid (Guest) on May 8, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jane Malecela (Guest) on April 17, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Bahati (Guest) on April 10, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Related Posts

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More