Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu ndo mwanamke

Featured Image

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama umeoa KIPAZA SAUTI πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Ndio maana mimi nafungaga condom na hela kwa pamoja… akivikuta anachukua hela na kuishia kusonya tu.. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Huwa sipendagi ujinga Mimi

😑😑😑😑😑😑

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Bernard Oduor (Guest) on November 16, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on November 16, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Malela (Guest) on November 15, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on October 27, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on October 18, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on September 29, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on September 23, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on September 16, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Henry Sokoine (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Musyoka (Guest) on July 29, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Paul Kamau (Guest) on July 20, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on July 10, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Hassan (Guest) on July 5, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Omari (Guest) on June 14, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mugendi (Guest) on June 5, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on April 4, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Nancy Akumu (Guest) on March 1, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Peter Mbise (Guest) on February 15, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Esther Nyambura (Guest) on February 9, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on January 31, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Salum (Guest) on January 6, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Andrew Mahiga (Guest) on December 22, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Stephen Amollo (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on December 9, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

James Mduma (Guest) on November 3, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on October 14, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on October 14, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Kijakazi (Guest) on October 9, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Sharon Kibiru (Guest) on September 21, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on September 18, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Chris Okello (Guest) on September 12, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on September 12, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on July 22, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on July 12, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Kendi (Guest) on June 14, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on June 14, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on May 15, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Wilson Ombati (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mgeni (Guest) on March 30, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

George Ndungu (Guest) on March 29, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joseph Mallya (Guest) on March 22, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Wairimu (Guest) on March 14, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Agnes Njeri (Guest) on February 22, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on November 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on October 29, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Khamis (Guest) on October 26, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Chris Okello (Guest) on October 11, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Baridi (Guest) on October 5, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joyce Mussa (Guest) on October 2, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on October 2, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mchome (Guest) on September 19, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Yahya (Guest) on September 17, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Philip Nyaga (Guest) on July 21, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Nkya (Guest) on July 20, 2017

😊🀣πŸ”₯

Andrew Odhiambo (Guest) on July 18, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Mallya (Guest) on July 7, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

James Malima (Guest) on July 4, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Related Posts

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More