Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Featured Image

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari mlinzi,anaondoka.Hilo jambo likamkera sana askari mlinzi, askari akawa na mvizia yule mzee wa kichaga ,siku alipokuja tena akamkamata, akamuuliza kwa nini unakuja unapiga honi kisha unakimbia? Mzee akasema: Haki ya mungu babaangu , Nina pesa zangu ktk account hapa bank naogopa usilale usingizi ndo maana kila siku usiku napita kukuangalia kama umelala!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Irene Makena (Guest) on December 18, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on December 13, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on December 9, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on December 2, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Monica Adhiambo (Guest) on November 22, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nasra (Guest) on October 23, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Peter Mwambui (Guest) on October 19, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on October 17, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Betty Akinyi (Guest) on October 7, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Nahida (Guest) on September 30, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hassan (Guest) on September 22, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Catherine Mkumbo (Guest) on September 10, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on August 2, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Fredrick Mutiso (Guest) on July 30, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lydia Mahiga (Guest) on July 13, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Salum (Guest) on July 10, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on June 16, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samuel Omondi (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Nashon (Guest) on June 7, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Stephen Kikwete (Guest) on May 16, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on May 10, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Charles Mchome (Guest) on April 28, 2019

Asante Ackyshine

Raha (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Sofia (Guest) on April 6, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Benjamin Kibicho (Guest) on March 27, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Fadhila (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 24, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Nassar (Guest) on March 20, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 3, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Josephine Nekesa (Guest) on February 3, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on January 31, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Agnes Sumaye (Guest) on January 5, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on January 1, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on December 22, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on November 30, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Kidata (Guest) on November 25, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Abubakar (Guest) on November 18, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mary Mrope (Guest) on November 8, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on November 2, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on November 1, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lucy Wangui (Guest) on October 16, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on October 15, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Maimuna (Guest) on October 1, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Frank Sokoine (Guest) on September 5, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Frank Macha (Guest) on July 13, 2018

😊🀣πŸ”₯

Lucy Mahiga (Guest) on July 13, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on June 21, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

George Mallya (Guest) on May 27, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on May 15, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Baridi (Guest) on May 14, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on May 10, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Henry Mollel (Guest) on March 28, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mzee (Guest) on February 23, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Charles Mrope (Guest) on February 20, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on January 18, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on January 3, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Wande (Guest) on December 25, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Amina (Guest) on December 24, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Betty Cheruiyot (Guest) on November 10, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More