Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Featured Image

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have.
Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.
Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.
Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.
Mtafsiri: They don't cook here
Mtalii: What type of snacks do you have here.
Mtafsiri: Aina ngapi ya nyoka mnao hapa,
Waiter: We bwana we hapa hatupiki aina yeyote
ya nyoka, mwache akale nyumbani kwao.
Mtafsiri: They don't cook any type of snacks
here,
maybe you can go back and eat at home.
Mtalii: OK, at least give us a cocktail juice.
Mtafsiri: OK, tupatie hata juisi ya mkia wa jogoo.
Waiter: Hebu tokeni na bangi zenu hapa, tena
sasa hivi kabla sijakasirika.
Mtafsiri: Lets get out of here
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usicheke pekeyako

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kenneth Murithi (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on May 17, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on April 27, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 9, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on March 21, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on February 29, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on February 26, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joseph Kitine (Guest) on February 9, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Mahiga (Guest) on January 27, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on January 23, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on January 19, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on January 4, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on December 14, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Baridi (Guest) on November 10, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Amani (Guest) on October 28, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Patrick Kidata (Guest) on October 2, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nahida (Guest) on September 22, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mwangi (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on September 11, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on September 6, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mjaka (Guest) on August 23, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

John Lissu (Guest) on June 13, 2019

🀣πŸ”₯😊

John Mwangi (Guest) on June 7, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Sarah Mbise (Guest) on May 26, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on May 4, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Zakia (Guest) on April 10, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mwanaidi (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Stephen Kangethe (Guest) on April 2, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Robert Okello (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on January 18, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Victor Malima (Guest) on January 3, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on December 23, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on December 17, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on December 15, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

James Kimani (Guest) on December 13, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on November 12, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Ruth Wanjiku (Guest) on October 16, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mariam Kawawa (Guest) on September 16, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Mligo (Guest) on September 10, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Monica Adhiambo (Guest) on September 5, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Fikiri (Guest) on August 28, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nasra (Guest) on August 22, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Nancy Kabura (Guest) on August 8, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on July 13, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Grace Mushi (Guest) on July 10, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on July 2, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 2, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on June 29, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on April 27, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Mligo (Guest) on April 26, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 6, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on March 5, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on February 10, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

George Tenga (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Zuhura (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Warda (Guest) on January 21, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Kamau (Guest) on January 19, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anna Sumari (Guest) on December 1, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More