Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Featured Image

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya kadi kuchapwa na kusambazwa!

Mchapaji aliombwa aweke 1 Yohana 4:18 katika kadi ya harusi lakini mchapaji kwa makosa aliweka Yohana 4:18.

1 Yohana 4:18 panasema, "Katika pendo hakuna hofu, lakini pendo lililo kamili huitupa nje hofu…"

Lakini Yohana 4:18 tunasoma, "Kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siye mume wako."

πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚_MKE MTARAJIWA AKAZIMIA HAPA, TUNAMPEPEA_

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nekesa (Guest) on August 4, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on July 31, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

James Kimani (Guest) on July 25, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Neema (Guest) on July 19, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on July 13, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on June 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on June 22, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Leila (Guest) on April 12, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Raphael Okoth (Guest) on April 3, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Lowassa (Guest) on March 20, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on March 20, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Tambwe (Guest) on March 2, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mwalimu (Guest) on February 22, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lucy Kimotho (Guest) on February 21, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on January 21, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on January 4, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 4, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Lowassa (Guest) on December 4, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on November 26, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Alex Nyamweya (Guest) on November 3, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mashaka (Guest) on October 14, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on September 24, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

George Mallya (Guest) on September 14, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on September 8, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

David Chacha (Guest) on September 7, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Mahiga (Guest) on August 21, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Mugendi (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Paul Kamau (Guest) on July 28, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Bernard Oduor (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 8, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on April 25, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Rahma (Guest) on April 1, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Mushi (Guest) on March 28, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Catherine Naliaka (Guest) on March 18, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on March 10, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on March 7, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on March 6, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on March 2, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Maulid (Guest) on February 12, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Agnes Njeri (Guest) on January 14, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on January 8, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on January 4, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on January 2, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on December 29, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Fadhili (Guest) on December 14, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on December 11, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Abdullah (Guest) on October 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Victor Sokoine (Guest) on August 25, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Michael Onyango (Guest) on August 2, 2017

Asante Ackyshine

Kazija (Guest) on July 24, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on May 30, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

David Nyerere (Guest) on May 27, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Kiza (Guest) on May 22, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Njoroge (Guest) on May 15, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mjaka (Guest) on April 30, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Leila (Guest) on April 5, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on March 12, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More