Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Featured Image

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vikiwa vimekauka. Akaonja 1 akaona kitamu na kina chumvi! Akavila vyote. Alipomaliza akaangalia juu ya mlango akaona pameandikwa; "chumba cha UKEKETAJI WANAWAKE". Unafikiri atakuwa amekula nini?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Esther Nyambura (Guest) on December 23, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on November 10, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Esther Cheruiyot (Guest) on October 19, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on October 16, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on October 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anthony Kariuki (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mwagonda (Guest) on September 23, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Anna Mahiga (Guest) on August 20, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Hawa (Guest) on August 18, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Carol Nyakio (Guest) on July 17, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Malela (Guest) on June 30, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Ndoto (Guest) on June 28, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Mallya (Guest) on June 12, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Miriam Mchome (Guest) on May 19, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on May 2, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mchawi (Guest) on April 20, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Ann Wambui (Guest) on March 28, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Jamila (Guest) on March 6, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Monica Adhiambo (Guest) on February 27, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on February 24, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Miriam Mchome (Guest) on February 18, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on February 17, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on January 9, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Janet Sumaye (Guest) on January 6, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Agnes Lowassa (Guest) on December 23, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on December 6, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on November 23, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anthony Kariuki (Guest) on November 3, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on October 31, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mchuma (Guest) on October 27, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Fadhila (Guest) on October 15, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

George Tenga (Guest) on September 24, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on August 28, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on August 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Wande (Guest) on July 22, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Biashara (Guest) on July 6, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Umi (Guest) on May 27, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on May 27, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mzee (Guest) on May 8, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on May 1, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Khatib (Guest) on April 21, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Bernard Oduor (Guest) on April 17, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on March 14, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on February 18, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Hawa (Guest) on February 1, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Salum (Guest) on January 19, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

David Sokoine (Guest) on December 15, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on December 3, 2017

🀣πŸ”₯😊

Peter Mwambui (Guest) on November 19, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on October 2, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Rabia (Guest) on September 21, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mercy Atieno (Guest) on September 16, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jamal (Guest) on September 12, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Violet Mumo (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Chris Okello (Guest) on August 6, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on July 31, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on July 24, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sarah Mbise (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Musyoka (Guest) on July 4, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Related Posts

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More