Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Featured Image

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa siku na muda husika

1. UGALI NA KUNDE
Mwitaji : πŸ—£Joniiiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Uje ukule

2. UGALI NA SAMAKI
Mwitaji: πŸ—£ we Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Unaitwa na Mama

3. WALI NA NYAMA/KUKU
Mwitaji: πŸ—£ Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Shauri yako!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ann Wambui (Guest) on June 15, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Biashara (Guest) on April 17, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Wilson Ombati (Guest) on April 13, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Latifa (Guest) on April 12, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mhina (Guest) on April 10, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Rahma (Guest) on March 18, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mwanais (Guest) on February 22, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on February 7, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on February 1, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on January 19, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Sekela (Guest) on January 17, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 9, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mary Kendi (Guest) on December 4, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Samson Tibaijuka (Guest) on November 22, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Agnes Sumaye (Guest) on November 8, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Moses Mwita (Guest) on October 29, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on October 26, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Amina (Guest) on October 9, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Janet Mwikali (Guest) on September 29, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on September 14, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Anna Sumari (Guest) on September 6, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on August 30, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on August 23, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kazija (Guest) on July 20, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Elizabeth Mtei (Guest) on July 18, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on June 1, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mustafa (Guest) on May 24, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 13, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on May 11, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on May 10, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Brian Karanja (Guest) on May 8, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on February 25, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Daniel Obura (Guest) on February 21, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Paul Ndomba (Guest) on February 8, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Athumani (Guest) on February 4, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

John Lissu (Guest) on December 16, 2020

🀣πŸ”₯😊

Peter Otieno (Guest) on November 19, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on September 27, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Grace Minja (Guest) on September 4, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Stephen Mushi (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sharifa (Guest) on August 21, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Jane Malecela (Guest) on August 18, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 24, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on July 23, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on July 13, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on July 11, 2020

Asante Ackyshine

Grace Majaliwa (Guest) on July 10, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Kibicho (Guest) on May 30, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Anna Mchome (Guest) on May 17, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Vincent Mwangangi (Guest) on March 11, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on March 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on March 2, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Yusuf (Guest) on February 27, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Samuel Were (Guest) on February 21, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Mwangi (Guest) on February 5, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jackson Makori (Guest) on January 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 4, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on December 23, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on December 18, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on December 5, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Related Posts

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More