Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mohamed (Guest) on June 16, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Daniel Obura (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Richard Mulwa (Guest) on June 2, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on May 28, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 27, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Mallya (Guest) on April 22, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on April 22, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on April 14, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Malima (Guest) on April 5, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 5, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Yahya (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Irene Akoth (Guest) on February 10, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Sokoine (Guest) on February 4, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on January 27, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Amukowa (Guest) on January 26, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on January 18, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mchuma (Guest) on January 13, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mazrui (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Kimario (Guest) on December 26, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on December 24, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on December 23, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on December 20, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 13, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Elizabeth Mtei (Guest) on November 18, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on October 24, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lydia Wanyama (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Masika (Guest) on October 7, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on October 4, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on September 21, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rukia (Guest) on September 21, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Rose Waithera (Guest) on September 21, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mariam (Guest) on September 20, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mary Kendi (Guest) on September 15, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on August 25, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Anna Malela (Guest) on August 25, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on August 24, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on August 18, 2021

🀣πŸ”₯😊

Mary Kidata (Guest) on August 17, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Halima (Guest) on August 7, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

George Mallya (Guest) on July 12, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on June 28, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on June 28, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on June 14, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on June 9, 2021

😊🀣πŸ”₯

Grace Wairimu (Guest) on April 20, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on March 30, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sharifa (Guest) on March 30, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Mushi (Guest) on March 28, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on February 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on January 31, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Abdullah (Guest) on January 29, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on January 29, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on December 10, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on October 8, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sharifa (Guest) on September 1, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on August 8, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on July 28, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on July 21, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on June 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More