Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kitine (Guest) on November 11, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on October 2, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on September 23, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mjaka (Guest) on September 6, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shamim (Guest) on September 3, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mwachumu (Guest) on July 26, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Catherine Mkumbo (Guest) on July 18, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Joseph Kitine (Guest) on July 9, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on June 25, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on June 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on May 24, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Nahida (Guest) on May 5, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Minja (Guest) on April 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kijakazi (Guest) on April 4, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on April 4, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on March 21, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Mushi (Guest) on March 9, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on March 1, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Nancy Komba (Guest) on February 24, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Zawadi (Guest) on February 16, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Moses Mwita (Guest) on January 30, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on January 21, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Rose Mwinuka (Guest) on December 31, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on December 22, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 17, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rose Mwinuka (Guest) on December 14, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rashid (Guest) on December 5, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on November 30, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on November 3, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on October 3, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on September 20, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Rahim (Guest) on July 25, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Josephine Nduta (Guest) on July 14, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Omar (Guest) on June 26, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on May 7, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hamida (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joy Wacera (Guest) on April 1, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mchuma (Guest) on April 1, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on April 1, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on March 27, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Tambwe (Guest) on March 26, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on March 23, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mashaka (Guest) on March 13, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Shamsa (Guest) on February 28, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jane Malecela (Guest) on January 10, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Akumu (Guest) on January 8, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Vincent Mwangangi (Guest) on January 3, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on December 25, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on October 4, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Alice Mwikali (Guest) on October 4, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Michael Onyango (Guest) on September 17, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Maimuna (Guest) on August 26, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 19, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Shabani (Guest) on August 18, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jaffar (Guest) on July 19, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on July 13, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Related Posts

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More