Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Featured Image
MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
JAMAA:"msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi" akalala
asubh wanakunywa chai akaibuka mrembo,jamaa akapigwa bumbuwazi almanusra ajimwagie chai.
BINTI:"Naitwa BEBI,we unaitwa nani?"
Jamaa akasema mimi naitwa Fara…..!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Irene Akoth (Guest) on January 21, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ann Wambui (Guest) on December 29, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on December 28, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Edwin Ndambuki (Guest) on December 26, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Kheri (Guest) on November 16, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Tambwe (Guest) on November 10, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Issack (Guest) on October 28, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nashon (Guest) on October 28, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mary Kendi (Guest) on October 25, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on October 16, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Jackson Makori (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

David Nyerere (Guest) on October 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on October 5, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Khadija (Guest) on September 11, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Diana Mallya (Guest) on August 30, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on August 20, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Amir (Guest) on August 18, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Lowassa (Guest) on August 5, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on June 27, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Victor Malima (Guest) on June 23, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on June 17, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abdillah (Guest) on June 16, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Rehema (Guest) on April 19, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Ruth Kibona (Guest) on March 21, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on March 8, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on February 24, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Chum (Guest) on February 20, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joseph Mallya (Guest) on February 6, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on February 3, 2021

🀣πŸ”₯😊

Shabani (Guest) on January 23, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Edward Lowassa (Guest) on January 9, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on January 1, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on December 4, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on December 3, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on November 23, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Maida (Guest) on November 16, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on November 3, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on August 8, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on July 25, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on June 10, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mchuma (Guest) on June 9, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Ann Awino (Guest) on June 3, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Yusuf (Guest) on May 25, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lucy Mushi (Guest) on May 21, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Rose Lowassa (Guest) on May 21, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on May 5, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

David Kawawa (Guest) on May 2, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on April 11, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mashaka (Guest) on April 4, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Sarah Achieng (Guest) on April 2, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 9, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Josephine (Guest) on February 29, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on February 16, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on January 20, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

George Ndungu (Guest) on January 14, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Safiya (Guest) on December 27, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Rose Lowassa (Guest) on December 21, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

George Ndungu (Guest) on December 4, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on November 26, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More