Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.





MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.





MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Amukowa (Guest) on March 5, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Samuel Omondi (Guest) on February 27, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zawadi (Guest) on January 31, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nahida (Guest) on January 15, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Wanjala (Guest) on January 14, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on December 20, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on December 16, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on November 26, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Tabitha Okumu (Guest) on November 20, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on November 19, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kijakazi (Guest) on November 13, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Patrick Akech (Guest) on October 6, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Daudi (Guest) on October 4, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mtaki (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Ndungu (Guest) on August 26, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Janet Wambura (Guest) on August 20, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

George Mallya (Guest) on August 6, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Shabani (Guest) on July 19, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ali (Guest) on July 14, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jane Malecela (Guest) on July 4, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on June 17, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Kahina (Guest) on June 13, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on May 2, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Zakia (Guest) on May 1, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Omar (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Victor Malima (Guest) on March 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abubakar (Guest) on March 13, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 23, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on February 4, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

David Sokoine (Guest) on January 19, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Fredrick Mutiso (Guest) on December 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Malima (Guest) on December 4, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwanajuma (Guest) on November 28, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Ann Awino (Guest) on November 27, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on November 12, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on October 28, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on October 3, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Sofia (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mary Sokoine (Guest) on August 15, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nancy Komba (Guest) on June 28, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on June 14, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on May 18, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Margaret Mahiga (Guest) on May 15, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on May 2, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on April 21, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kabura (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rose Waithera (Guest) on March 10, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on February 20, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on February 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Salima (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mary Kendi (Guest) on February 10, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 29, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Maida (Guest) on January 24, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Agnes Lowassa (Guest) on January 22, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on January 17, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on January 3, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Rabia (Guest) on December 22, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Related Posts

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More