Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!





Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Adhiambo (Guest) on December 8, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joseph Kawawa (Guest) on November 21, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zawadi (Guest) on November 13, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Kenneth Murithi (Guest) on November 3, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

John Malisa (Guest) on October 6, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Khalifa (Guest) on September 14, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on September 7, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jamila (Guest) on August 14, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Lydia Wanyama (Guest) on July 26, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on July 6, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

James Malima (Guest) on June 1, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Victor Sokoine (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on May 8, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 3, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Kawawa (Guest) on April 17, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mwajabu (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwanaidha (Guest) on March 23, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Hassan (Guest) on March 16, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Mallya (Guest) on March 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Athumani (Guest) on March 10, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Baraka (Guest) on January 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Edward Lowassa (Guest) on January 8, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kawawa (Guest) on December 21, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 15, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on November 30, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on November 18, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rahma (Guest) on November 11, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Janet Mwikali (Guest) on November 6, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Josephine (Guest) on November 2, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on October 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on October 10, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Hashim (Guest) on October 9, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jackson Makori (Guest) on August 14, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on August 5, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Elijah Mutua (Guest) on July 14, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Agnes Sumaye (Guest) on July 2, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Isaac Kiptoo (Guest) on June 25, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

James Malima (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

John Mushi (Guest) on May 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on April 23, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Asha (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mwafirika (Guest) on April 6, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Chum (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Mwinuka (Guest) on March 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on March 5, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Malela (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

John Mushi (Guest) on January 20, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Husna (Guest) on January 15, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Sharifa (Guest) on January 8, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Akumu (Guest) on December 29, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Vincent Mwangangi (Guest) on November 30, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on October 3, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on September 2, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Maulid (Guest) on August 28, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Zawadi (Guest) on August 21, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ann Wambui (Guest) on August 1, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More