Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?





HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.





WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Wangui (Guest) on April 15, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on March 19, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Anna Mahiga (Guest) on March 12, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Edward Lowassa (Guest) on March 7, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Miriam Mchome (Guest) on February 19, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Joy Wacera (Guest) on January 19, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Mwikali (Guest) on January 11, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Moses Kipkemboi (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Betty Cheruiyot (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Josephine Nduta (Guest) on November 21, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on November 4, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on October 25, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Charles Wafula (Guest) on October 24, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Juma (Guest) on October 23, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Sumaye (Guest) on October 21, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on October 18, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on October 10, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 14, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on August 13, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Edward Chepkoech (Guest) on July 19, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Carol Nyakio (Guest) on July 5, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on June 26, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Fadhili (Guest) on June 8, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sarah Karani (Guest) on June 6, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on June 3, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Khadija (Guest) on June 2, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mary Sokoine (Guest) on May 19, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on May 15, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on May 8, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Nashon (Guest) on March 23, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on February 26, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on February 26, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Peter Mbise (Guest) on February 15, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Janet Sumaye (Guest) on February 8, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Wairimu (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Lowassa (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Wanyama (Guest) on January 1, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Violet Mumo (Guest) on December 31, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on December 26, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on December 19, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Azima (Guest) on December 14, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joseph Kitine (Guest) on December 2, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on November 17, 2020

Asante Ackyshine

Ruth Mtangi (Guest) on November 8, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ali (Guest) on November 6, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kassim (Guest) on September 7, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Wanjala (Guest) on August 29, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on July 13, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on July 6, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on June 22, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

John Malisa (Guest) on May 20, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on May 18, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joyce Nkya (Guest) on April 19, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nassar (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Robert Ndunguru (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on March 22, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on March 21, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on March 20, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?