Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako…..





BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi, huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Serena iko palepale……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mercy Atieno (Guest) on April 9, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on March 15, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Aziza (Guest) on March 12, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Mahiga (Guest) on March 7, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Andrew Odhiambo (Guest) on February 24, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on January 26, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mwanakhamis (Guest) on January 26, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rose Kiwanga (Guest) on January 1, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

John Kamande (Guest) on December 22, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 17, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on November 11, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kazija (Guest) on October 18, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Shukuru (Guest) on September 23, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Monica Nyalandu (Guest) on September 1, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on August 20, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on June 25, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on May 21, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Wande (Guest) on April 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Moses Kipkemboi (Guest) on April 25, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Tambwe (Guest) on April 16, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwanaisha (Guest) on April 11, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mahiga (Guest) on March 29, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nora Lowassa (Guest) on March 23, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on March 22, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on February 1, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Maida (Guest) on January 15, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Charles Wafula (Guest) on December 28, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rahim (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Thomas Mtaki (Guest) on December 3, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on November 6, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on September 24, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwajabu (Guest) on September 22, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Mwambui (Guest) on July 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Shamim (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mariam Hassan (Guest) on May 9, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lucy Mushi (Guest) on March 6, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on February 13, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on February 9, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 14, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Safiya (Guest) on January 7, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Benjamin Kibicho (Guest) on January 4, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Baraka (Guest) on January 1, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Kimotho (Guest) on December 14, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mwangi (Guest) on December 4, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Nahida (Guest) on November 23, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on November 5, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mashaka (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Grace Majaliwa (Guest) on October 20, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on October 10, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mary Kidata (Guest) on October 3, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Diana Mallya (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on September 10, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Kawawa (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Benjamin Masanja (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on July 10, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Related Posts

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More