Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?





JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anthony Kariuki (Guest) on December 11, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

George Mallya (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on November 15, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mutheu (Guest) on November 6, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Kiza (Guest) on October 20, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Anna Mchome (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Joseph Kawawa (Guest) on October 8, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on September 28, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Isaac Kiptoo (Guest) on August 28, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on August 27, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

George Mallya (Guest) on August 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on August 16, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lucy Mahiga (Guest) on August 13, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Ndungu (Guest) on August 10, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alice Mwikali (Guest) on July 21, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on July 13, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on June 2, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on May 29, 2021

Asante Ackyshine

Stephen Malecela (Guest) on May 22, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Tabu (Guest) on May 22, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on May 14, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Daniel Obura (Guest) on May 4, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Irene Makena (Guest) on April 22, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Charles Mchome (Guest) on April 4, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on April 3, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on March 16, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joyce Aoko (Guest) on February 17, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Alex Nakitare (Guest) on February 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Yusuf (Guest) on February 3, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Francis Njeru (Guest) on January 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sofia (Guest) on January 13, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Jane Malecela (Guest) on January 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Saidi (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Masika (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on December 21, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Sultan (Guest) on November 15, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Abdillah (Guest) on November 15, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mahiga (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Mwangi (Guest) on November 5, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on October 28, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Saidi (Guest) on October 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Sokoine (Guest) on October 2, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Wanyama (Guest) on August 20, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

James Kawawa (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on August 7, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on June 12, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Kangethe (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on April 3, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on April 3, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Kawawa (Guest) on March 22, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jamila (Guest) on March 13, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Chacha (Guest) on March 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ibrahim (Guest) on February 8, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Mwangi (Guest) on January 20, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on January 18, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Kidata (Guest) on December 24, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Amani (Guest) on December 21, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Kawawa (Guest) on December 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on December 12, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More