Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.
Masai: kwanini Ng'ombe ngali?
Dereva: kwa sababu ni mkubwa zaidi ya mbuzi
Masai: umepata..na mbusi na kuku ipi ngali
Dereva: ni mbuzi kwa sababu nae ni mkubwa kuliko kuku.
Masai: Umepata..
Masai: sasa me nimekwenda kule mwenge kwa ngali kubwa nikalitoa sh. 500 hii yko ndogo unasema nikupe 40,000 wewe acha wizi.. Nitakupa 250 Tu..wee acha lbia morani…!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Kimani (Guest) on April 11, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Charles Mrope (Guest) on March 14, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mchuma (Guest) on March 5, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 27, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on January 30, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Joy Wacera (Guest) on January 20, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Kevin Maina (Guest) on January 5, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on January 3, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Safiya (Guest) on December 31, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Robert Okello (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 13, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on December 12, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on November 14, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on October 30, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Samson Tibaijuka (Guest) on October 7, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on August 29, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on August 28, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on August 25, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Yahya (Guest) on August 6, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ibrahim (Guest) on July 4, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Mwajuma (Guest) on July 2, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Ndungu (Guest) on June 23, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Rose Lowassa (Guest) on June 4, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mrope (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Grace Wairimu (Guest) on May 29, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Kenneth Murithi (Guest) on May 26, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on May 19, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Elizabeth Malima (Guest) on April 21, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on April 6, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on April 1, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on March 31, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on March 21, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on March 17, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Furaha (Guest) on February 19, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Mary Kendi (Guest) on February 18, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Wafula (Guest) on February 10, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Frank Macha (Guest) on February 9, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Betty Kimaro (Guest) on February 2, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Nuru (Guest) on January 23, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Benjamin Masanja (Guest) on January 21, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Sokoine (Guest) on January 17, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jacob Kiplangat (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mary Njeri (Guest) on December 2, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on November 8, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on October 15, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on October 14, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on October 4, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Bernard Oduor (Guest) on October 2, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Carol Nyakio (Guest) on September 6, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on August 28, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Catherine Naliaka (Guest) on August 24, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on August 8, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Kawawa (Guest) on August 7, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nuru (Guest) on July 14, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on July 10, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Sarah Mbise (Guest) on June 2, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Kikwete (Guest) on May 20, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on May 11, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Related Posts

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More