Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Edward Chepkoech (Guest) on March 4, 2022

😊🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on March 1, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on January 16, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Janet Sumari (Guest) on January 15, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Peter Mwambui (Guest) on January 2, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on December 25, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Nashon (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Anthony Kariuki (Guest) on November 26, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on November 5, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on September 30, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on September 14, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on September 6, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Habiba (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Mwalimu (Guest) on August 26, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Kawawa (Guest) on August 22, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on July 15, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Asha (Guest) on July 10, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on July 5, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on July 1, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on May 20, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on April 30, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Alex Nyamweya (Guest) on April 8, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on March 25, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Simon Kiprono (Guest) on March 15, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on February 25, 2021

🀣πŸ”₯😊

Elizabeth Mtei (Guest) on February 20, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on February 11, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on February 8, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lydia Wanyama (Guest) on February 2, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on January 22, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Catherine Naliaka (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mwanaidha (Guest) on January 2, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Josephine Nduta (Guest) on January 1, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Khamis (Guest) on November 9, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on November 5, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mbise (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Salum (Guest) on October 14, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Esther Cheruiyot (Guest) on October 11, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Christopher Oloo (Guest) on October 9, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Margaret Anyango (Guest) on September 20, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on September 10, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on September 8, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sharifa (Guest) on August 1, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Anna Kibwana (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 13, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on June 13, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Kassim (Guest) on April 21, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on March 26, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on March 13, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 16, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Abubakar (Guest) on February 13, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ahmed (Guest) on February 8, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on January 23, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 31, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Mustafa (Guest) on December 31, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mwanahawa (Guest) on December 10, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More