Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Emily Chepngeno (Guest) on July 23, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Maulid (Guest) on June 20, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Kevin Maina (Guest) on June 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on May 27, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on April 8, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Raha (Guest) on March 12, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on March 12, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on February 27, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on February 12, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on January 11, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 5, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on January 2, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Fadhili (Guest) on December 25, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Frank Sokoine (Guest) on December 12, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Zubeida (Guest) on November 13, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Joyce Mussa (Guest) on November 6, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on October 20, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on October 7, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on September 7, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mtaki (Guest) on August 6, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on August 1, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Maulid (Guest) on July 31, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Otieno (Guest) on July 5, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on July 4, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on June 28, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on June 7, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ahmed (Guest) on June 5, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Komba (Guest) on May 31, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on May 29, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

David Chacha (Guest) on April 25, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on April 3, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Farida (Guest) on April 3, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Sumari (Guest) on April 1, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on March 10, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lucy Kimotho (Guest) on February 25, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on February 23, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on February 6, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sekela (Guest) on February 1, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Masika (Guest) on January 21, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 16, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on January 11, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on December 26, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on December 19, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on December 5, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Margaret Anyango (Guest) on November 4, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Betty Kimaro (Guest) on October 13, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lydia Mutheu (Guest) on October 3, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Wairimu (Guest) on September 6, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on August 19, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Athumani (Guest) on August 4, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Irene Makena (Guest) on July 17, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Issa (Guest) on July 12, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Hashim (Guest) on July 2, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on June 25, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Hamida (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 18, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Jamal (Guest) on May 10, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Related Posts

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More