Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

MLEVI: Niletee supu kisha wasikilize wote waliokaa hapa na wao wape supu sipendi kunywa supu watu wananiangalia
Safari hii watu wakapiga makofi
Baadae akamuita mhudumu
MLEVI: Niandikie bili zangu kisha waandikie wote bili zao sipendi kulipa huku watu wananiangalia

Wale wateja wakamvaa na kumshushia kichapo… teh teh teh teh teh hii kali hakuna cha bure mjini hahahaha na jasho la mtu haliliwi wandugu

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Athumani (Guest) on May 15, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lucy Mahiga (Guest) on April 12, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Shukuru (Guest) on April 4, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Francis Njeru (Guest) on March 23, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Kassim (Guest) on February 4, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on February 4, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Malisa (Guest) on January 9, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Alex Nakitare (Guest) on January 9, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alice Jebet (Guest) on January 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on December 21, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on December 8, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Diana Mumbua (Guest) on December 2, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Malima (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on October 1, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rehema (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 15, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on August 10, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

David Sokoine (Guest) on July 23, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Kiza (Guest) on July 16, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mwafirika (Guest) on July 1, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Malisa (Guest) on May 29, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Emily Chepngeno (Guest) on May 10, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on May 6, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on May 5, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on March 19, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

John Malisa (Guest) on March 18, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on February 22, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on January 26, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Diana Mumbua (Guest) on January 20, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Rahim (Guest) on December 19, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Joseph Kawawa (Guest) on December 5, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nassar (Guest) on December 1, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Richard Mulwa (Guest) on November 8, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alice Mrema (Guest) on November 7, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

John Lissu (Guest) on September 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on August 28, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on August 20, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on July 26, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mercy Atieno (Guest) on July 13, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on July 10, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on June 29, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Otieno (Guest) on June 27, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Michael Mboya (Guest) on June 22, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on May 31, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Edward Lowassa (Guest) on May 24, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Robert Okello (Guest) on April 25, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

David Chacha (Guest) on March 31, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumari (Guest) on March 25, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on March 17, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Rose Lowassa (Guest) on March 13, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on March 8, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joy Wacera (Guest) on March 4, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on February 9, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on February 6, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rose Waithera (Guest) on December 17, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on October 30, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 6, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rose Mwinuka (Guest) on August 14, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Related Posts

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More