Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Featured Image

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda kumzawadia. Mpenzi akashukuru lakini alipogundua kuwa zote ni nyeusi si akaropoka.
MY HONEY: Sasa umeninunulia chupi zote nyeusi, sasa watu si watadhani nina chupi moja tu sibadili,

Jamaa alifura akawa kama mbogo na hapo ndipo zogo kuu lilipoanza

MUME:Watu gani hao watakaokuambia unachupi moje, inamaana unawaonyesha kitumbua changu? Leo utanambia'
Ungekuwa wewe ungefanya nini?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kawawa (Guest) on December 16, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on December 10, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on November 11, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Janet Sumaye (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mzee (Guest) on October 18, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on October 14, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on October 14, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on October 11, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Janet Sumaye (Guest) on October 2, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Faith Kariuki (Guest) on September 6, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Zulekha (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Andrew Mahiga (Guest) on August 4, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on July 12, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on July 8, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on June 19, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nuru (Guest) on June 11, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on May 22, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Nora Kidata (Guest) on March 12, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

James Mduma (Guest) on February 17, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Majid (Guest) on February 8, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Charles Mchome (Guest) on February 8, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Tenga (Guest) on February 3, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Martin Otieno (Guest) on January 30, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Masika (Guest) on November 28, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Stephen Kangethe (Guest) on November 15, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam (Guest) on October 24, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Benjamin Kibicho (Guest) on October 23, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on October 14, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on October 4, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Ndungu (Guest) on September 24, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nasra (Guest) on September 20, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on September 11, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on August 30, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Patrick Akech (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Hellen Nduta (Guest) on August 14, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on July 21, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Stephen Kikwete (Guest) on July 1, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on June 16, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Abubakar (Guest) on May 22, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joyce Mussa (Guest) on May 3, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on April 30, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Janet Sumari (Guest) on March 7, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on February 20, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on February 9, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ann Wambui (Guest) on February 7, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on February 5, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Warda (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Miriam Mchome (Guest) on January 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 24, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Yahya (Guest) on December 26, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ruth Kibona (Guest) on December 18, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Linda Karimi (Guest) on November 28, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Raphael Okoth (Guest) on November 25, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on November 8, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mwanais (Guest) on November 1, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on October 12, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on October 11, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Andrew Mchome (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More