Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nduta (Guest) on July 23, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Peter Otieno (Guest) on July 12, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on June 29, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Chacha (Guest) on June 17, 2024

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on May 12, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on May 9, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on January 3, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Sekela (Guest) on December 22, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on December 19, 2023

😊🀣πŸ”₯

Patrick Mutua (Guest) on December 1, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on November 13, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Wilson Ombati (Guest) on October 29, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on October 19, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Abubakar (Guest) on October 12, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Baraka (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

David Kawawa (Guest) on September 21, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on September 5, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwafirika (Guest) on August 25, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on August 24, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on August 21, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on August 5, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Ali (Guest) on August 1, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Faith Kariuki (Guest) on July 30, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on July 25, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on July 12, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

James Malima (Guest) on July 9, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Mushi (Guest) on July 4, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Monica Adhiambo (Guest) on June 16, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ali (Guest) on June 16, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Moses Kipkemboi (Guest) on June 9, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Susan Wangari (Guest) on May 23, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nashon (Guest) on May 23, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Nancy Komba (Guest) on May 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Kamau (Guest) on May 9, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on April 29, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Benjamin Kibicho (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on March 20, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Juma (Guest) on March 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Mallya (Guest) on February 28, 2023

🀣πŸ”₯😊

Vincent Mwangangi (Guest) on February 15, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

James Kawawa (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Onyango (Guest) on January 25, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Athumani (Guest) on January 25, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Linda Karimi (Guest) on December 4, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Leila (Guest) on November 24, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Charles Mchome (Guest) on November 6, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on October 22, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Richard Mulwa (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Philip Nyaga (Guest) on September 13, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on August 6, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on August 4, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Mallya (Guest) on August 3, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on June 19, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sharon Kibiru (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on May 27, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on May 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Kiza (Guest) on May 11, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nora Kidata (Guest) on April 19, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 18, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Related Posts

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More