Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?

DAKTARI:Β Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:Β Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.

DAKTARI:Β Nashukuru umeelewa somo!!πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Wafula (Guest) on June 10, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on June 2, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on May 26, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on May 7, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 3, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on April 25, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Farida (Guest) on March 21, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Nora Lowassa (Guest) on March 16, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on February 28, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on February 25, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Tibaijuka (Guest) on February 12, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Leila (Guest) on February 4, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 11, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on December 24, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Asha (Guest) on December 1, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 19, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on November 3, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joseph Mallya (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ali (Guest) on October 27, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mary Kendi (Guest) on October 23, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on October 11, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on September 29, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on September 29, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Sharifa (Guest) on September 24, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Daniel Obura (Guest) on September 22, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Fikiri (Guest) on September 17, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on August 29, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samson Mahiga (Guest) on August 16, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Anna Sumari (Guest) on August 14, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jane Muthui (Guest) on August 11, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Njoroge (Guest) on August 2, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Philip Nyaga (Guest) on July 24, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on July 14, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Zainab (Guest) on July 11, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Anna Sumari (Guest) on July 4, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edith Cherotich (Guest) on March 27, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on March 26, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Sharifa (Guest) on March 26, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Stephen Malecela (Guest) on March 15, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on March 4, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kahina (Guest) on March 3, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jane Malecela (Guest) on February 21, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

James Kawawa (Guest) on February 18, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nassor (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Vincent Mwangangi (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on February 1, 2023

🀣πŸ”₯😊

Henry Mollel (Guest) on January 26, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Nancy Komba (Guest) on January 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on November 27, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on November 11, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Abubakar (Guest) on November 6, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on October 13, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Margaret Mahiga (Guest) on September 27, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Juma (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Bakari (Guest) on September 1, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on August 10, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Samson Tibaijuka (Guest) on August 7, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Zuhura (Guest) on July 19, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Related Posts

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More