Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Tenga (Guest) on June 16, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on May 29, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Issack (Guest) on May 24, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mary Kendi (Guest) on May 14, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lucy Mahiga (Guest) on April 25, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Brian Karanja (Guest) on February 23, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on February 21, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Philip Nyaga (Guest) on February 11, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kiza (Guest) on February 9, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anthony Kariuki (Guest) on January 21, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on December 18, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

James Mduma (Guest) on October 19, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on October 6, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lucy Mahiga (Guest) on September 25, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on September 23, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on September 17, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rahma (Guest) on August 29, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mgeni (Guest) on August 27, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on August 12, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Salma (Guest) on August 6, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Wanjiru (Guest) on July 16, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Shamsa (Guest) on June 10, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Grace Minja (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on May 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on May 3, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

James Kimani (Guest) on May 2, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on April 28, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on April 22, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on March 18, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mercy Atieno (Guest) on February 19, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on February 15, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on January 21, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on January 17, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Josephine Nduta (Guest) on December 25, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on December 21, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joseph Kawawa (Guest) on December 17, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Bahati (Guest) on December 10, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Francis Mtangi (Guest) on December 5, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mariam (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Charles Wafula (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Alice Wanjiru (Guest) on November 10, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Salima (Guest) on August 24, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Margaret Anyango (Guest) on August 23, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Athumani (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Benjamin Masanja (Guest) on July 11, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on June 17, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Kibicho (Guest) on April 19, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on April 5, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Binti (Guest) on March 21, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Josephine (Guest) on March 14, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Mushi (Guest) on March 1, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Alice Jebet (Guest) on February 27, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

John Kamande (Guest) on January 29, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mwanahawa (Guest) on January 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Diana Mallya (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More