Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image

Binti: Hallow mpenzi, Mambo





Jamaa: Poa baby





Binti:Uko wapi?





Jamaa: Niko town napata lunch





Binti: Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi





Jamaa: Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?





Binti: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.





Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.





Binti: Kwanini dear?





Jamaa: Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zubeida (Guest) on July 4, 2024

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Henry Sokoine (Guest) on July 1, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Tenga (Guest) on June 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on June 19, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on June 4, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on May 18, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Rukia (Guest) on April 6, 2024

🀣 Hii imewaka moto!

Benjamin Masanja (Guest) on March 19, 2024

🀣πŸ”₯😊

Fredrick Mutiso (Guest) on February 22, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Rose Waithera (Guest) on January 12, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on December 31, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Mzee (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Fadhila (Guest) on November 29, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joseph Kitine (Guest) on November 23, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Faiza (Guest) on November 17, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on November 6, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on October 22, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on October 17, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on September 27, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Rose Mwinuka (Guest) on September 8, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on August 31, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on August 22, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

David Nyerere (Guest) on August 13, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Susan Wangari (Guest) on August 5, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on July 20, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Samuel Were (Guest) on July 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sarafina (Guest) on July 18, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Jebet (Guest) on June 28, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on June 2, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 24, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Jamila (Guest) on May 16, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Josephine Nduta (Guest) on May 5, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Esther Cheruiyot (Guest) on April 25, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Muthoni (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on March 1, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Malima (Guest) on February 18, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Simon Kiprono (Guest) on February 18, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Kheri (Guest) on February 11, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Farida (Guest) on January 1, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on December 31, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Mallya (Guest) on December 20, 2022

😊🀣πŸ”₯

John Lissu (Guest) on November 2, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on November 1, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Edward Lowassa (Guest) on October 25, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on September 20, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on September 1, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samuel Omondi (Guest) on July 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 8, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Ruth Mtangi (Guest) on July 1, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on June 6, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Sharon Kibiru (Guest) on June 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on May 18, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

David Sokoine (Guest) on May 12, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anna Sumari (Guest) on May 1, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Charles Mchome (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on April 11, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Related Posts

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More