Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Featured Image

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, analivaa dela bila nguo ya ndani mbele yako, unazidiwa anakupa kitu fresh unatoka unatabasamu.πŸ€πŸ½πŸ™ŒπŸ½

Mwanamke wa kitanga:
Unampa hela anapika vitu mtaa mzima unasikia harufu ya chakula, chenji inayo baki ananunua kinga ukirudi unakula afu unakula..πŸ‘πŸΌπŸ‘πŸΌπŸ€πŸ½πŸ™ŒπŸ½

Mwanamke wa kihaya:
Unampa hela ukirudi unakuta majirani wote wanataarifa kuwa wew uliacha hela, anakupkia vitu vzuri, usiku anakuhudumia ukimsifia anakuhudumia tena hata mara nne kwa usiku mmoja..we mle sifa tuπŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ€ΈπŸΎβ€β™€πŸ‘ŒπŸ½.

Mwanamke wa kichaga:
Unampa hela anaenda ananunua dagaa anapika na michuzi mingi mpaka dagaa wanafufuka unakula kwa shida, dagaa wanakula utumbo wako unakufa.. Madaktari wanajitahidi wanakutibu unafufuka. Ukiwa hujapata akili vizuri anakuletea bili ya umeme, anakukumbusha deni la kwa Massawe, anakukumbusha kodi ya nyumba.. *Unashikwa na presha unakufa moja kwa moja*πŸ™ŒπŸ½πŸ˜‚πŸ™†πŸΌβ€β™‚πŸƒπŸΎπŸ€ΈπŸΎβ€β™€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Michael Mboya (Guest) on June 30, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on June 9, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on June 8, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Edward Chepkoech (Guest) on May 16, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Josephine Nduta (Guest) on April 2, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Kheri (Guest) on March 16, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Joy Wacera (Guest) on February 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lucy Kimotho (Guest) on February 5, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on January 24, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Betty Cheruiyot (Guest) on January 20, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrope (Guest) on January 11, 2024

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Hawa (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on December 11, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 1, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Lissu (Guest) on November 21, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on November 6, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on October 21, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Mrope (Guest) on October 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on October 18, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on August 26, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lydia Mahiga (Guest) on August 19, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mariam (Guest) on August 6, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Charles Mboje (Guest) on July 22, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on July 18, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 26, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

George Mallya (Guest) on June 15, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on May 4, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on April 30, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sekela (Guest) on April 19, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Shukuru (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mwanahawa (Guest) on March 26, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joseph Kiwanga (Guest) on March 17, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mariam Kawawa (Guest) on March 6, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on March 3, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sarah Karani (Guest) on February 27, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Alice Mwikali (Guest) on February 25, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on February 11, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Asha (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Linda Karimi (Guest) on January 24, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on January 23, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on January 4, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nasra (Guest) on December 19, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Mariam Hassan (Guest) on December 3, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on November 30, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Christopher Oloo (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Neema (Guest) on November 21, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Susan Wangari (Guest) on November 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on October 13, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Abubakari (Guest) on September 23, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Michael Onyango (Guest) on August 27, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Abdullah (Guest) on August 1, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Alice Jebet (Guest) on July 28, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Saidi (Guest) on June 3, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Janet Sumari (Guest) on May 28, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Masika (Guest) on May 27, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mgeni (Guest) on May 18, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jane Muthui (Guest) on May 2, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on March 16, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More