Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Featured Image

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng'ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuniβ€¦πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sekela (Guest) on July 19, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on June 21, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ann Awino (Guest) on June 18, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on May 26, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on April 8, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Guest (Guest) on December 31, 2025

NOMA SANA

Ahmed (Guest) on March 26, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Moses Kipkemboi (Guest) on March 14, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Kawawa (Guest) on February 24, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on February 3, 2024

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Miriam Mchome (Guest) on January 29, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Aziza (Guest) on January 19, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Bernard Oduor (Guest) on December 29, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Betty Kimaro (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Guest (Guest) on October 10, 2025

Pw kaka/dad nzuri

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 11, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on November 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Martin Otieno (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Fredrick Mutiso (Guest) on October 11, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joseph Kawawa (Guest) on August 30, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on August 23, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on July 30, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on July 4, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Sokoine (Guest) on July 4, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on June 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on May 19, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mariam Kawawa (Guest) on May 14, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Victor Malima (Guest) on April 18, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Otieno (Guest) on April 16, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Moses Kipkemboi (Guest) on March 20, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on March 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on March 18, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on February 21, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on February 20, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Peter Otieno (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwanahawa (Guest) on January 21, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on December 30, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on December 27, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on December 19, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 18, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on December 7, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mwanais (Guest) on December 5, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Bernard Oduor (Guest) on November 25, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Husna (Guest) on October 23, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nahida (Guest) on October 20, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Jaffar (Guest) on September 16, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Moses Mwita (Guest) on September 13, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

George Wanjala (Guest) on September 8, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Emily Chepngeno (Guest) on July 28, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jackson Makori (Guest) on July 23, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on July 13, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on July 7, 2022

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Fikiri (Guest) on June 16, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Henry Mollel (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Monica Adhiambo (Guest) on June 7, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on June 1, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Kassim (Guest) on May 30, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Sofia (Guest) on May 3, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More