Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sitasahau mwaka huu

Featured Image

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja maarufu. Wakati nasubiri majibu siku moja nikaenda kwa mama ntilie kununua maandazi akanifungia vizuri, kufika nyumbani hamu yote ya maandazi iliniishia pale nilipogundua karatasi iliyofungiwa maandazi ni barua yangu ya kuombea kaziπŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rahim (Guest) on July 16, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Safiya (Guest) on July 7, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Mushi (Guest) on June 28, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on June 23, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on May 29, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on May 20, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

James Kawawa (Guest) on May 4, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Sumaya (Guest) on April 25, 2024

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Grace Minja (Guest) on March 29, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on March 16, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Frank Macha (Guest) on February 27, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Stephen Amollo (Guest) on February 9, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Khadija (Guest) on January 27, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 25, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on November 27, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

James Malima (Guest) on November 20, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on November 14, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on November 3, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mbise (Guest) on October 28, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Ahmed (Guest) on October 22, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Monica Lissu (Guest) on September 18, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on August 18, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Samson (Guest) on August 13, 2023

Unakuta Mwamba Umejikamua kuandika

Charles (Guest) on August 13, 2023

Kumbe Huwa WanazigawaπŸ˜€

Rose Waithera (Guest) on August 12, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joseph Mallya (Guest) on August 9, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Grace Mushi (Guest) on July 31, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on July 15, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on June 24, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Andrew Mahiga (Guest) on May 17, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Kimario (Guest) on April 27, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Hawa (Guest) on April 23, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on April 15, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

David Sokoine (Guest) on April 2, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on March 31, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on March 24, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on March 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on March 4, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on January 12, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Guest (Guest) on October 14, 2025

je maswali haya una majibu yake swali nimnyama gani anaetembelea miguu 4 kisha anafata 2 kisha anamaliza namiguu 3 nijibu kahuna jibu nichek umu 0681305278

Guest (Guest) on October 14, 2025

je maswali haya una majibu yake swali nimnyama gani anaetembelea miguu 4 kisha anafata 2 kisha anamaliza namiguu 3 nijibu kahuna jibu nichek umu 0681305278

Elizabeth Mtei (Guest) on December 29, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Nancy Kawawa (Guest) on December 4, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on November 29, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on November 28, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on October 30, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Zuhura (Guest) on October 18, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Hassan (Guest) on September 21, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Anna Sumari (Guest) on August 17, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on August 17, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Sharon Kibiru (Guest) on August 6, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on July 9, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on May 7, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Robert Okello (Guest) on April 19, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Violet Mumo (Guest) on April 5, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Mligo (Guest) on March 11, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on March 10, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Related Posts

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More