Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mahiga (Guest) on July 20, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mercy Atieno (Guest) on June 27, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Malima (Guest) on June 1, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on May 20, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Yusra (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mtaki (Guest) on April 24, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on April 3, 2024

😊🀣πŸ”₯

Charles Wafula (Guest) on April 1, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Husna (Guest) on February 22, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Stephen Kangethe (Guest) on January 31, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on January 20, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Shamsa (Guest) on January 9, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 9, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nora Kidata (Guest) on January 8, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on January 4, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Grace Mligo (Guest) on December 28, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on December 23, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Vincent Mwangangi (Guest) on December 19, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on December 6, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 4, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on September 13, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Said (Guest) on August 14, 2023

Mchaga Noma

Ryan (Guest) on July 12, 2024

Noma kweli

Joseph Njoroge (Guest) on August 9, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 5, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ruth Kibona (Guest) on July 31, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on June 24, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Chiku (Guest) on June 24, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mwajabu (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Daniel Obura (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Betty Akinyi (Guest) on June 7, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Frank Macha (Guest) on May 14, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on May 12, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on May 6, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nassar (Guest) on April 28, 2023

Asante Ackyshine

Agnes Njeri (Guest) on April 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Issa (Guest) on April 22, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Nuru (Guest) on March 12, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Nyerere (Guest) on February 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on February 12, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on February 10, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Malisa (Guest) on December 28, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on December 25, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Abubakari (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Halima (Guest) on November 26, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Andrew Mchome (Guest) on November 15, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Grace Mushi (Guest) on September 30, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Elizabeth Malima (Guest) on September 29, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on September 28, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Margaret Anyango (Guest) on September 26, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Binti (Guest) on September 9, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Victor Kamau (Guest) on August 29, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on August 28, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Kawawa (Guest) on August 26, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on August 5, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on July 31, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More