Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki hawa wachungaji

Featured Image

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana.

MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka.

WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF.

WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE:

We vp unatatizo gani mbona unalia???

AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni "umbea" haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Njoroge (Guest) on July 23, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joyce Mussa (Guest) on July 17, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Charles Mchome (Guest) on June 22, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Khadija (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Betty Kimaro (Guest) on May 25, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 6, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Nora Kidata (Guest) on April 29, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on April 18, 2024

🀣πŸ”₯😊

Fikiri (Guest) on March 16, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Minja (Guest) on March 8, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Charles Wafula (Guest) on February 16, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Zainab (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 31, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on December 28, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on December 14, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Kabura (Guest) on December 7, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Chiku (Guest) on October 29, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on October 28, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Esther Cheruiyot (Guest) on October 27, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chum (Guest) on October 25, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on September 14, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on July 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Baraka (Guest) on July 15, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Elizabeth Mrope (Guest) on June 27, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Nyota (Guest) on May 26, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Binti (Guest) on April 5, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Betty Akinyi (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Anna Mahiga (Guest) on March 14, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Agnes Lowassa (Guest) on March 8, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Philip Nyaga (Guest) on February 19, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Grace Minja (Guest) on December 8, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Jane Muthoni (Guest) on December 8, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Tabitha Okumu (Guest) on November 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on November 6, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on November 3, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mashaka (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on October 29, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Rabia (Guest) on September 8, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on September 2, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on August 25, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Bahati (Guest) on August 8, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Edwin Ndambuki (Guest) on August 1, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chum (Guest) on July 30, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on July 17, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 26, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on June 22, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Waithera (Guest) on June 5, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Kevin Maina (Guest) on May 29, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Jane Malecela (Guest) on May 20, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 20, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Baraka (Guest) on May 19, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on May 16, 2022

😊🀣πŸ”₯

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 10, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on April 24, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on April 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on March 25, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on March 21, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Related Posts

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More