Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
236 Comments

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Featured Image
236 Comments

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Featured Image
236 Comments

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Featured Image
236 Comments

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?

236 Comments

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Featured Image
237 Comments

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Featured Image
Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto. MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu?
237 Comments

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image
238 Comments

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?

236 Comments

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Featured Image
Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: Kwanini unasema hivyo?
236 Comments