Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Featured Image
237 Comments

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Featured Image
239 Comments

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Featured Image
MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
236 Comments

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Featured Image
237 Comments

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Featured Image

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU atoke nje" wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.

237 Comments

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Featured Image
236 Comments

Ni wazo tuu!

Featured Image
236 Comments

Mambo ya pesa haya..

Featured Image
237 Comments

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza. Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe.
237 Comments