Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:"LIVER."

5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"

ZUZU:"Hasira nyingi sana!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Khamis (Guest) on July 19, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on July 12, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rabia (Guest) on June 10, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Peter Mwambui (Guest) on June 9, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Jaffar (Guest) on May 20, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

David Chacha (Guest) on April 23, 2024

😊🀣πŸ”₯

Wilson Ombati (Guest) on April 13, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on March 21, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on March 10, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Guest (Guest) on November 28, 2025

watoto wa2000 palipo namapenzi hapakosi pesa napalipo napesa hapakosi mapenzi

Khatib (Guest) on February 28, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ruth Wanjiku (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Ramadhan (Guest) on February 15, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Catherine Naliaka (Guest) on February 8, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Esther Nyambura (Guest) on February 7, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on February 7, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Francis Njeru (Guest) on February 4, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 14, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Bahati (Guest) on November 30, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on November 22, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on October 26, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on October 22, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on October 12, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Peter Mugendi (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on September 21, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on September 15, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Masika (Guest) on September 2, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on August 25, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Henry Mollel (Guest) on August 13, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on August 9, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Chris Okello (Guest) on July 30, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Mligo (Guest) on July 20, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Shukuru (Guest) on June 27, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on June 5, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on May 14, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on March 15, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on March 9, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Moses Mwita (Guest) on March 3, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nora Lowassa (Guest) on February 6, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on January 3, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Nasra (Guest) on November 14, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Fikiri (Guest) on September 28, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nora Kidata (Guest) on September 9, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Jane Muthoni (Guest) on August 26, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

John Lissu (Guest) on August 14, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on August 5, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

George Ndungu (Guest) on July 16, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Rose Waithera (Guest) on July 4, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Rose Mwinuka (Guest) on June 22, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on June 12, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Charles Mchome (Guest) on June 5, 2022

Asante Ackyshine

Edith Cherotich (Guest) on June 1, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Samuel Omondi (Guest) on May 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mwanaisha (Guest) on April 6, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Related Posts

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More