Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, β€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo β€œNakupenda Mpenzi”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno β€œNAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 – β€œSamahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – β€œSamahani, wrong number”!
Simu ya 3 – β€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 4 – β€œMh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 5 – β€œNikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 6 – β€œβ€¦β€¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 7 – β€œMe too”!
Simu ya 6 – β€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Kidata (Guest) on October 9, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on September 27, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Hekima (Guest) on September 11, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on September 2, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on June 30, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Frank Sokoine (Guest) on May 29, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on May 22, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Amukowa (Guest) on May 17, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on May 16, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 15, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Victor Kimario (Guest) on May 1, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kheri (Guest) on April 27, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Thomas Mtaki (Guest) on April 12, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on March 15, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rubea (Guest) on February 3, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Chris Okello (Guest) on December 15, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Safiya (Guest) on December 9, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Zuhura (Guest) on November 30, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Thomas Mtaki (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Selemani (Guest) on November 7, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Lucy Wangui (Guest) on October 31, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Muslima (Guest) on September 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Shani (Guest) on September 25, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on August 21, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on August 18, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zainab (Guest) on August 11, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Grace Njuguna (Guest) on August 6, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Kimario (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Hawa (Guest) on June 24, 2016

Asante Ackyshine

Shamim (Guest) on May 23, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

George Mallya (Guest) on May 23, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on May 14, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on May 10, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on April 27, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Victor Sokoine (Guest) on April 20, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on March 5, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on March 4, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lucy Wangui (Guest) on January 30, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on January 13, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

James Mduma (Guest) on December 16, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on December 12, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on December 2, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Malecela (Guest) on November 17, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Majaliwa (Guest) on October 23, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Saidi (Guest) on October 11, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Issa (Guest) on October 10, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Bahati (Guest) on October 1, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Vincent Mwangangi (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Catherine Naliaka (Guest) on August 7, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

George Tenga (Guest) on May 15, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 9, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More