Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!





Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Chris Okello (Guest) on March 24, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Grace Minja (Guest) on March 21, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on March 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on March 11, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on February 22, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on February 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on February 7, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on January 10, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on January 10, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Lucy Mahiga (Guest) on January 3, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on December 15, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Alice Jebet (Guest) on October 24, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mzee (Guest) on October 22, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on October 13, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Wande (Guest) on October 12, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Simon Kiprono (Guest) on October 3, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on October 1, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Yusuf (Guest) on August 20, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on August 16, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Sumari (Guest) on July 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on July 3, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on June 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on May 15, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Stephen Malecela (Guest) on May 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on May 8, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Safiya (Guest) on April 23, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on March 14, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on February 26, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Esther Cheruiyot (Guest) on February 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 23, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on December 16, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Joyce Aoko (Guest) on December 9, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on November 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Hassan (Guest) on November 10, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on November 2, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Diana Mallya (Guest) on November 2, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on October 31, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on October 22, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Stephen Kikwete (Guest) on October 16, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on October 11, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on September 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rabia (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Halima (Guest) on September 2, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Grace Wairimu (Guest) on August 31, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Thomas Mtaki (Guest) on August 14, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on August 9, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on August 7, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nyota (Guest) on July 8, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Henry Sokoine (Guest) on July 3, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Paul Kamau (Guest) on May 25, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Yusuf (Guest) on May 21, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on April 27, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on April 24, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on April 2, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Related Posts

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More