Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?





HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.





WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anthony Kariuki (Guest) on October 25, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on October 20, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on October 1, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on September 29, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Hawa (Guest) on September 11, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 10, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rashid (Guest) on August 21, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Wilson Ombati (Guest) on August 16, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on July 26, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on July 25, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Francis Mtangi (Guest) on June 4, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Wanjala (Guest) on May 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kangethe (Guest) on May 9, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Furaha (Guest) on April 27, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Akumu (Guest) on April 9, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on March 3, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rabia (Guest) on February 17, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on February 2, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on November 29, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alex Nakitare (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Andrew Mahiga (Guest) on September 9, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joyce Aoko (Guest) on July 22, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Anna Mahiga (Guest) on July 10, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwanaidi (Guest) on June 27, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 22, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Francis Mrope (Guest) on May 15, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on May 11, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Halimah (Guest) on April 22, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Robert Ndunguru (Guest) on April 21, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Makame (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Carol Nyakio (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Amina (Guest) on April 9, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Waithera (Guest) on April 3, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mariam Hassan (Guest) on March 13, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Fadhila (Guest) on February 19, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lydia Mutheu (Guest) on January 1, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Lissu (Guest) on December 26, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Christopher Oloo (Guest) on November 20, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Charles Mrope (Guest) on November 15, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Mtangi (Guest) on October 29, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on October 25, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jaffar (Guest) on October 14, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Malima (Guest) on September 20, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mary Kendi (Guest) on September 19, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Kahina (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mercy Atieno (Guest) on September 9, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

George Tenga (Guest) on September 6, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Lucy Kimotho (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Francis Mrope (Guest) on August 15, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Halima (Guest) on July 28, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Jane Muthui (Guest) on July 25, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Henry Mollel (Guest) on June 15, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on June 4, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on May 31, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on May 15, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 22, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More