Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?





JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Vincent Mwangangi (Guest) on May 7, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on May 4, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on April 22, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Chacha (Guest) on February 27, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rukia (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Amukowa (Guest) on January 21, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on January 11, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Njeru (Guest) on January 7, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Umi (Guest) on December 18, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Edward Lowassa (Guest) on December 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Chum (Guest) on December 14, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Alice Mwikali (Guest) on October 25, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on October 15, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Lissu (Guest) on October 14, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mzee (Guest) on October 7, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mariam Hassan (Guest) on September 23, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Muslima (Guest) on September 11, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Ahmed (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Edward Lowassa (Guest) on August 1, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Amina (Guest) on July 17, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on July 16, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Njeru (Guest) on July 8, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on July 6, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Baraka (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mchome (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 11, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 25, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Njeri (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Lucy Mahiga (Guest) on March 8, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Daudi (Guest) on February 27, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joseph Kitine (Guest) on January 30, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on December 21, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Bernard Oduor (Guest) on November 22, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on November 6, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Janet Mbithe (Guest) on November 2, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on October 23, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Rabia (Guest) on October 21, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Arifa (Guest) on October 3, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on September 9, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Grace Majaliwa (Guest) on August 29, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on August 18, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on August 10, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Malisa (Guest) on August 1, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on August 1, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on July 30, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Sokoine (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Stephen Kikwete (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Malima (Guest) on July 6, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 21, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on June 13, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on June 6, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on April 23, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Husna (Guest) on April 13, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Related Posts

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More