Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?





JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kenneth Murithi (Guest) on May 28, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on May 12, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on May 7, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on May 4, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on April 22, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Chacha (Guest) on February 27, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rukia (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Amukowa (Guest) on January 21, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on January 11, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Njeru (Guest) on January 7, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Umi (Guest) on December 18, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Edward Lowassa (Guest) on December 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Chum (Guest) on December 14, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Alice Mwikali (Guest) on October 25, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on October 15, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Lissu (Guest) on October 14, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mzee (Guest) on October 7, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mariam Hassan (Guest) on September 23, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Muslima (Guest) on September 11, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Ahmed (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Edward Lowassa (Guest) on August 1, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Amina (Guest) on July 17, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on July 16, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Njeru (Guest) on July 8, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on July 6, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Baraka (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mchome (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 11, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 25, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Njeri (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Lucy Mahiga (Guest) on March 8, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Daudi (Guest) on February 27, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joseph Kitine (Guest) on January 30, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on December 21, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Bernard Oduor (Guest) on November 22, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on November 6, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Janet Mbithe (Guest) on November 2, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on October 23, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Rabia (Guest) on October 21, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Arifa (Guest) on October 3, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on September 9, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Grace Majaliwa (Guest) on August 29, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on August 18, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on August 10, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Malisa (Guest) on August 1, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on August 1, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on July 30, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Sokoine (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Stephen Kikwete (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Malima (Guest) on July 6, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 21, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on June 13, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on June 6, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on April 23, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Husna (Guest) on April 13, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Related Posts

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More