Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Malaika, "Inawezekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."

Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda, akaonelea arudi kama kuku.

Malaika akamgeuza kuku, akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.

Akachuchumaa na kuanza kujikamua; yai la kwanza likatoka. akajikamua tena, yai la pili likatoka. Akajikamua tena mara ya tatu.

Wakati yai la tatu linatoka… akashtukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbav*! Balaa gani hii…. unakuny* kitandani!!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nyota (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Michael Mboya (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on May 1, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Patrick Akech (Guest) on April 23, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elizabeth Malima (Guest) on April 21, 2017

Asante Ackyshine

Charles Mrope (Guest) on April 15, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 3, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on March 19, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Masika (Guest) on February 28, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joy Wacera (Guest) on February 21, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on February 14, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Maida (Guest) on January 9, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rabia (Guest) on December 8, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mwanakhamis (Guest) on December 6, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Robert Okello (Guest) on November 26, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on November 21, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Wanyama (Guest) on November 18, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on October 19, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on September 25, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on September 14, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zuhura (Guest) on September 10, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Monica Lissu (Guest) on September 2, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Sharon Kibiru (Guest) on June 26, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Shukuru (Guest) on May 24, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Carol Nyakio (Guest) on May 3, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on April 22, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on March 15, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Grace Mligo (Guest) on March 4, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on February 12, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mbise (Guest) on February 6, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Lissu (Guest) on January 16, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on January 4, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on December 28, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Arifa (Guest) on December 28, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Joyce Nkya (Guest) on December 5, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Lissu (Guest) on October 7, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mohamed (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Wanyama (Guest) on August 30, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Wilson Ombati (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on July 6, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Mahiga (Guest) on June 25, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nduta (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on May 16, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Grace Mushi (Guest) on May 12, 2015

😊🀣πŸ”₯

Tambwe (Guest) on April 12, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Faith Kariuki (Guest) on April 1, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More