Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Featured Image

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwisharudi,jamaa alikasirika sana.

Siku ya 2
akamchukua na kwenda naye zaid ya kilometa 50
akapiga chochoro za kutosha kisha
akamtupa,akaanza safar ya kurud nyumban
baada ya muda akampigia cm mkewe.Vp mke
wangu huyo paka yupo? MKE:Ndio mume wangu
tena ametulia hapa kwan imekuaje? JAMAA:hebu
mpe cm anielekeze njia ya kurud nimepotea😳

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mutheu (Guest) on June 23, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on June 7, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Tambwe (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Victor Sokoine (Guest) on May 25, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on May 24, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on May 15, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ann Wambui (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 2, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on February 11, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Amir (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Sumari (Guest) on January 29, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on January 12, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Baraka (Guest) on January 8, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rose Waithera (Guest) on December 28, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Monica Lissu (Guest) on December 19, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on December 1, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Sarah Karani (Guest) on November 30, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on November 18, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on October 7, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Grace Majaliwa (Guest) on October 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joseph Njoroge (Guest) on August 12, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Victor Kimario (Guest) on August 4, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Macha (Guest) on July 25, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Zubeida (Guest) on July 23, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Sumaya (Guest) on July 12, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Ruth Kibona (Guest) on July 7, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on June 13, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Grace Mligo (Guest) on May 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 7, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Charles Mboje (Guest) on March 24, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mzee (Guest) on March 23, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Kahina (Guest) on March 3, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Njoroge (Guest) on December 31, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Philip Nyaga (Guest) on December 29, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on December 25, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kiza (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Wairimu (Guest) on December 3, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on November 28, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on November 21, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on November 7, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Alice Mrema (Guest) on November 5, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on October 19, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Mushi (Guest) on October 18, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Emily Chepngeno (Guest) on September 22, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on August 31, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Henry Mollel (Guest) on August 22, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on August 13, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tabu (Guest) on July 28, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Kiza (Guest) on July 13, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Paul Ndomba (Guest) on June 26, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Kazija (Guest) on June 19, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Henry Mollel (Guest) on May 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mwachumu (Guest) on May 3, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Kenneth Murithi (Guest) on April 19, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Victor Kimario (Guest) on April 12, 2015

🀣πŸ”₯😊

Related Posts

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More