Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Featured Image

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwisharudi,jamaa alikasirika sana.

Siku ya 2
akamchukua na kwenda naye zaid ya kilometa 50
akapiga chochoro za kutosha kisha
akamtupa,akaanza safar ya kurud nyumban
baada ya muda akampigia cm mkewe.Vp mke
wangu huyo paka yupo? MKE:Ndio mume wangu
tena ametulia hapa kwan imekuaje? JAMAA:hebu
mpe cm anielekeze njia ya kurud nimepotea😳

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mutheu (Guest) on June 23, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on June 7, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Tambwe (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Victor Sokoine (Guest) on May 25, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on May 24, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on May 15, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ann Wambui (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 2, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on February 11, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Amir (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Sumari (Guest) on January 29, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on January 12, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Baraka (Guest) on January 8, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rose Waithera (Guest) on December 28, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Monica Lissu (Guest) on December 19, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on December 1, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Sarah Karani (Guest) on November 30, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on November 18, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on October 7, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Grace Majaliwa (Guest) on October 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joseph Njoroge (Guest) on August 12, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Victor Kimario (Guest) on August 4, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Macha (Guest) on July 25, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Zubeida (Guest) on July 23, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Sumaya (Guest) on July 12, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Ruth Kibona (Guest) on July 7, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on June 13, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Grace Mligo (Guest) on May 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 7, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Charles Mboje (Guest) on March 24, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mzee (Guest) on March 23, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Kahina (Guest) on March 3, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Njoroge (Guest) on December 31, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Philip Nyaga (Guest) on December 29, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on December 25, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kiza (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Wairimu (Guest) on December 3, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on November 28, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on November 21, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on November 7, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Alice Mrema (Guest) on November 5, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on October 19, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Mushi (Guest) on October 18, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Emily Chepngeno (Guest) on September 22, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on August 31, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Henry Mollel (Guest) on August 22, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on August 13, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tabu (Guest) on July 28, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Kiza (Guest) on July 13, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Paul Ndomba (Guest) on June 26, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Kazija (Guest) on June 19, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Henry Mollel (Guest) on May 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mwachumu (Guest) on May 3, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Kenneth Murithi (Guest) on April 19, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Victor Kimario (Guest) on April 12, 2015

🀣πŸ”₯😊

Related Posts

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More