Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Featured Image

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.

MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.

MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!

MUMEΒ kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwiiiiiii!

MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.

MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.

MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka usiku huu na khanga moja.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Mduma (Guest) on September 1, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on August 24, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Lydia Mahiga (Guest) on July 4, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on June 12, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mwachumu (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Hamida (Guest) on June 2, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Furaha (Guest) on May 20, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sarah Mbise (Guest) on May 2, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on April 29, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Sokoine (Guest) on April 10, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on April 6, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

George Ndungu (Guest) on March 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on February 4, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Benjamin Kibicho (Guest) on January 15, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 22, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anthony Kariuki (Guest) on November 12, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Amir (Guest) on November 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Dorothy Nkya (Guest) on October 30, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Kamau (Guest) on October 14, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on August 30, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on August 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on August 14, 2016

😊🀣πŸ”₯

Joy Wacera (Guest) on August 4, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mchuma (Guest) on July 29, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Aziza (Guest) on July 17, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Abdullah (Guest) on June 12, 2016

Asante Ackyshine

Joyce Nkya (Guest) on June 9, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Stephen Kangethe (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on June 3, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Anna Kibwana (Guest) on May 25, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Martin Otieno (Guest) on May 24, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on May 3, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on April 19, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Mbise (Guest) on March 31, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on March 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Daniel Obura (Guest) on March 7, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 2, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Wambura (Guest) on January 30, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwinyi (Guest) on January 7, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

John Lissu (Guest) on December 28, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Josephine Nekesa (Guest) on December 21, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on December 5, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Fatuma (Guest) on September 28, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Stephen Amollo (Guest) on September 11, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on August 24, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Esther Cheruiyot (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on July 8, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

James Mduma (Guest) on July 3, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Robert Okello (Guest) on May 9, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on April 27, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on April 14, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More