Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Featured Image

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

02.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.
03.πŸ‘‰ Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia Siasa na kuwaongoza wote hapo juu. Yaani wa kwanza na wa pili.
04.πŸ‘‰ Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juu wote hawana raha.
05.πŸ‘‰ Wale waliopata Zero na waliokataa shule wanakuwa waganga wa kienyeji, wote hapo juu watamtafuta huyu, pale mambo yao yanapokwenda kombo. Tuache kudharauliana, kila mtu ni boss akiwa kwenye nafasi yake. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸƒπŸƒπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Mwikali (Guest) on April 11, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on March 31, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on March 26, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Elijah Mutua (Guest) on March 18, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on March 17, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on March 13, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Janet Mwikali (Guest) on March 4, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Frank Macha (Guest) on February 27, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alice Jebet (Guest) on January 25, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Monica Nyalandu (Guest) on January 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on December 8, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on November 25, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on November 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on November 1, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Njeru (Guest) on October 7, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on October 5, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Joy Wacera (Guest) on August 18, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on August 11, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on August 8, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on July 26, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Ahmed (Guest) on July 23, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Frank Sokoine (Guest) on July 20, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on June 22, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Sekela (Guest) on June 20, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Vincent Mwangangi (Guest) on June 11, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on May 16, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Wande (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Andrew Odhiambo (Guest) on May 9, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Francis Njeru (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Kitine (Guest) on April 8, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on March 30, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on March 26, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Betty Akinyi (Guest) on March 9, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Neema (Guest) on March 4, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Irene Akoth (Guest) on February 3, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on January 13, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on December 23, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Ahmed (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Abdillah (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on October 19, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on October 4, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on September 24, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Joyce Nkya (Guest) on September 16, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on September 15, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Husna (Guest) on September 14, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Stephen Kangethe (Guest) on August 26, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on August 19, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Musyoka (Guest) on August 6, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on July 8, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Maida (Guest) on July 3, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Grace Mushi (Guest) on July 1, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Edwin Ndambuki (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Alice Wanjiru (Guest) on June 21, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Sarah Mbise (Guest) on April 29, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mchuma (Guest) on April 28, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Related Posts

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More